Ambulensi za pikipiki zaingia Kajiado

Matatizo ya kina mama wajawazito na wale waliojifungua karibuni ni mengi mno katika kaunti ya Kajiado kwa sababu ya ukosefu wa usafiri sehemu za mashinani. Hata hivyo, daktari mmoja ambaye pia ni makazi wa eneo hilo ameanzisha mradi wa ambulensi za pikipiki ili kupunguza vifo vya wanaojifungua pamoja na watoto wao wachanga.

Tags:

Kajiado Health Crisis Joseph Ole Lenku

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories